iqna

IQNA

walemavu wa macho
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kuchapisha Qur’ani Tukufu nchini Kuwati imechapisha Juzuu ya 30 ya Qur’ani Tukufu kwa hati za Baraille au maandishi nukta nundu.
Habari ID: 3474279    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/09

TEHRAN (IQNA)- Maeneo maalumu ya swala yametengwa katika Msikiti Mtakatifu wa Makka (Al Masjid Al Haram ) kwa ajili ya walemavu.
Habari ID: 3473673    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/22

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Kitaifa ya Walemavu wa Macho yamemalizika Jumatatu wiki hii nchini Iraq.
Habari ID: 3471840    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/13

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya walemavu wa macho yamemalizika Jumapili mjini Tehran kwa kuteuliwa wawakilishi wa Iran katika Awamu ya Nne ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Walemavu wa Macho.
Habari ID: 3471731    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/06

TEHRAN (IQNA) –Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza masharti kwa wale wanaotaka kushiriki katika Duru ya 4 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Walemavu wa Macho.
Habari ID: 3471659    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/04

TEHRAN (IQNA)-Taasisi ya Misaada ya Qatar imesambaza nakala 4,000 za Qur'ani Tukufu zenye hati ya Braille ambayo hutumiwa na watu wenye ulemavu wa macho.
Habari ID: 3471220    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/17

TEHRAN (IQNA)-Jamii ndogo wa wanafunzi wenye ulemavu wa macho Malaysia wanajitahidi kuhifadhi Qur'ani kikamilifu kwa kutegemea misahafu iliyoandikwa kwa maandishi ya nukta nundu au Braille.
Habari ID: 3471015    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/10